Raia wamechoka kuisikia familia hii

 


Raia wameanzisha 'petition' mtandaoni kwa vyombo vya habari kuacha kufanya mahojiano na Will Smith na mkewe Jada Smith baada ya kuchoka kusikia story za ndoa yao.


Will na Jada tangu waachane wamezunguka katika vyombo vya habari kutoa siri zao za ndani, na sasa mashabiki hawataki kusikia tena story zao na kuanzisha petition ambayo ilianza kwa kuhitaji sign 500 na baadae ikaongezwa mpaka sign 1500 kuwataka waandishi wa habari waache kuwafanyia mahojiano, na mpaka sasa zaidi ya raia 1200 wamesha sign.



Comments

Popular posts from this blog

NINATIBU KISUKARI, PRESHA, TEZIDUME, NGIRI NA NGUVU ZA KIUME

Uchaguzi wa rais nchini Libya uko mashakani

Mambo 8 yanayosababisha Gari kuwaka Moto na Jinsi ya kuyaepuka