Pele alazwa hospitalini kwa mara nyingine

 


Gwiji wa soka wa nchini Brazil ,Pele amelazwa hospitalini kwa ajili ya matibabu ya uvimbe kwenye utumbo uliobainika hapo awali, madaktari wake walisema Jumatano.


Bingwa huyo wa dunia mwenye umri wa miaka 81 alilazwa katika Hospitali ya Albert Einstein mjini Sao Paulo.


"Mgonjwa anaendelea vizuri na anatarajiwa kuruhsiwa katika siku zijazo." ingawa taarifa hazikusema ni lini Pele alilazwa hospitalini.


Pele alifanyiwa upasuaji wa uvimbe huo Septemba 4, na kukaa mwezi mmoja hospitalini kabla ya kuruhusiwa kuendelea na matibabu.



Comments

Popular posts from this blog

NINATIBU KISUKARI, PRESHA, TEZIDUME, NGIRI NA NGUVU ZA KIUME

Uchaguzi wa rais nchini Libya uko mashakani

Mambo 8 yanayosababisha Gari kuwaka Moto na Jinsi ya kuyaepuka