Lukashenko aisihi Ujerumani kuchukua wakimbizi

 


Rais Alexander Lukashenko wa Bularus leo hii ameisihi Ujerumani kuwachukua takribani wakimbizi elfu mbili ambao wamekwama katika eneo la mpaka wa Poland na Belarus akisema idadi hiyo si chochote kwa taifa hilo.


Lukashenko aliwahi kutoa kauli kama hiyo baada ya simu yake hivi karibuni na Kansela Angela Merkel kuhusu mgogoro katika eneo la mpakani. 


Lakini kwa mara kadhaa serikali ya mjini Berlin imekataa namna yake ya kushuguhulika mzozo huo.Viongozi wa mataifa ya Ulaya wanasema mzozo huo unasababishwa na Lukashenko ambaye alikasirishwa na Umoja wa Ulaya kwa kukataa kutambua matokeo ya uchaguzi wa 2020 unaobishaniwa uliomwingiza madarakani.



Comments

Popular posts from this blog

NINATIBU KISUKARI, PRESHA, TEZIDUME, NGIRI NA NGUVU ZA KIUME

Uchaguzi wa rais nchini Libya uko mashakani

Mambo 8 yanayosababisha Gari kuwaka Moto na Jinsi ya kuyaepuka