Beka Flavour apata ajali

 


Kupitia page yake ya Instagram msanii Beka Flavour ameweka taarifa za kupata ajali ya gari usiku wa kuamkia leo wakati anatoka studio kurekodi.


Beka Flavour ameshea picha ya gari alilopata nalo ajali huku akiita ajali hiyo ni ya ajabu kwa sababu hajui ilikuaje na imetokea ghafla.


"Wakati natoka studio usiku huu nimepata kaajali cha ajabu sana, yaani hata sijui ilikuaje ghafla tu nimejikuta hapo, kikubwa nimetoka mzima kabisa Mungu mkubwa sana" ameandika Beka Flavour



Comments

Popular posts from this blog

NINATIBU KISUKARI, PRESHA, TEZIDUME, NGIRI NA NGUVU ZA KIUME

Uchaguzi wa rais nchini Libya uko mashakani

Mambo 8 yanayosababisha Gari kuwaka Moto na Jinsi ya kuyaepuka